"Dkt Mpango alikuwa hafahamu kama atapendekezwa kuwa Makamu wa Rais' Waziri Lukuvi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA





Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi amesema hadi wanaenda Bungeni asubuhi ya leo, Dkt Mpango alikuwa hafahamu kama atapendekezwa kuwa Makamu wa Rais. Lukuvi anasema Dkt Mpango alikuwa anaongea mambo mengine kabisa, kuonesha yeye na wabunge wengine walikuwa hawafahamu.
Lukuvi amewasisitiza Wabunge kupitisha jina la Dkt Mpango kwa anakidhi sana vigezo vyote kwa ajili ya nafasi hiyo.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad