Mwana Mieleka Randy Orton Akasirishwa na Kauli ya Soulja Boy Kuwa Mchezo wa Mieleka ni Maigizo Matupu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Kauli ya Soulja Boy kwamba mchezo wa Mieleka hauna uhalisia (fake) umemkasirisha mwanamieleka wa WWE, Randy Orton. Wawili hao wamejibizana kwenye mtandao wa twitter huku Randy akionesha wazi hasira zake. Kubwa lililomkera The Viper, Apex Predator, The Legend Killer, Randy Orton ni Soulja Boy kuudhihaki mchezo ambao unamfanya apate kipato na aishi vizuri na familia yake.


Soulja Boy anaonekana kama amejipanga kwani alienda mbali zaidi hadi kutaka kuzichapa na Randy kama yupo tayari. Staa mwingine alionekana kukerwa na kauli hiyo ya 'The Crank That' Hit star Soulja Boy, ni T-BAR wa kundi la Retribution.


Hii imekuja kufuatia mapema wiki hii, Soulja Boy kuandika kupitia twitter kwamba game ya Hip Hop kwa sasa imekuwa feki kama ulivyo mchezo wa mieleka chini ya WWE.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad