Mwanafunzi Amuua Mwalimu Kwa Kumpiga Jiwe Kichwani

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Mwanafunzi wa Darasa la Sita anashikiliwa na Polisi akihusishwa na kifo cha Mwalimu wake. Inaelezwa, alimpiga na jiwe kufuatia malumbano nyumbani kwa Mwalimu huyo


Tukio hilo limetokea Kaunti ya Kakamega Nchini humo na kwa mujibu wa taarifa, Mwalimu alifariki dunia wakati anapatiwa matibabu


Imeelezwa, Mwalimu alimfokea Mwanafunzi huyo kwa kuingia nyumbani kwake kinyemela ili kuchota maji na wakati wa mvutano huo ndipo Mwanafunzi alichukua jiwe na kumpiga nalo kichwani


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad