Mwanaharakati Aliyegoma Kula Gerezani Kwa Siku 19 Aachiwa Huru

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



MOROCCO
Mwanahistoria na Mwanaharakati, Maati Monjib aliyekuwa jela na kugoma kula kwa siku 19 ameachiwa huru baada ya kushikiliwa kwa kipindi cha miezi mitatu

Monjib anayefahamika kwa msimamo wake wa kuzikosoa Mamlaka Nchini Morocco alikamatwa Desemba 29, 2020 kama hatua ya uchunguzi wa awali kuhusu tuhuma za kuhusishwa na utakatishaji fedha

Mwanaharakati huyo anasema tuhuma dhidi yake zimetengenezwa na sasa kwakuwa ameachiwa huru atapigania uhuru wa wafungwa wengine wanaoshikiliwa kutokana na mitazamo yao.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad