"Mwanamke Angeabudiwa"- Idris Sultan

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 

Mchekeshaji maarufu nchini Tanzania Idris Sultan, amesema kuwa mwanamke ni kiumbe ambaye anaipa Dunia kila kitu anachokipenda na kwamba Mungu asingekuwepo basi yeye angeabudiwa.


Katika kuelekea siku ya wanawake Duniani inayofanyika kila mwaka ifikapo Machi 8 kila mwaka, ameyaandika hayo hii leo Machi 6, 2021, kupitia ukurasa wake wa Twitter.


"Mwanamke anaipa Dunia kila anachokipenda kuanzia busara, malezi na mpaka mtoto wa kutoka tumboni mwake, kusingekuwa na Mungu basi yeye ndiye angeabudiwa," ameandika Idris.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad