AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ambaye ndiye Mwenyekiti wa Kamati ya Mazishi ya Kitaifa amesema kuwa mwili wa Dkt. John Magufuli utapelekwa Chato mkoani Geita kwa gari ili kutoa fursa kwa watu wote waliopo njiani kuaga. Mwili huo utasimama nyumba kwa Mjane (Janeth Magufuli) kwa dakika 10, kisha utaendelea na safari.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK