Mwili wa Hayati utasimama nyumba kwa Mjane Janeth Magufuli kwa dakika 10- Waziri Majaliwa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ambaye ndiye Mwenyekiti wa Kamati ya Mazishi ya Kitaifa amesema kuwa mwili wa Dkt. John Magufuli utapelekwa Chato mkoani Geita kwa gari ili kutoa fursa kwa watu wote waliopo njiani kuaga. Mwili huo utasimama nyumba kwa Mjane (Janeth Magufuli) kwa dakika 10, kisha utaendelea na safari.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad