Nandy: Achomoa Madai Ya Kunasa Mimba!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




MSANII wa Bongo Fleva, Faustina Charles ‘Nandy’ amesema kuwa watu wengi wana hofu nayo kwamba huenda ni mjazito lakini ukweli ni kwamba hana mimba.

 

Akizungumza na Risasi Vibes, Nandy alisema kuwa, ameshapata maswali mengi kuhusiana na tumbo lake pia kaweka picha ya mwanamke mjamzito kwenye profile yake ya mtandao wa WhatsApp hivyo amekuwa akipokea maswali mengi kuhusiana na hilo.

 

“Kwa kweli sina mimba kuna wakati mwingine watu wananiangalia vibaya yaani wanafananisha shibe na mimba hapo ndipo wanapofeli kabisa,” alisema Nandy ambaye pia inadaiwa penzi lake na msanii wa Bongo Fleva, William Lyimo ‘Billnass’ limevunjika.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad