Pablo Escobar Mwalifu wa Madawa ya Kulevya Aliyepiga Picha Ikulu ya Marekani Huku Anatafutwa na Polisi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Pichani Hapo Juu Ni Pablo Escobar Na Mwanae Juan.

Pablo Escobar alikua mfanyabiashara mkubwa sana wa madawa ya kulevya duniani. Alikuwa anasambaza na kumiliki soko la madawa ya kulevya kwa asilimia 80 duniani.

Sasa turudi kwenye hiyo picha apo juu. Hiyo picha ilipigwa mwaka 1981 nje ya geti la ikulu ya marekani (white house), kipindi hiko jamaa alikuwa ni muhalifu anaetafutwa sana na serikali ya Marekani (Most wanted criminal), lakini mwamba alipiga zake picha za kutosha na mapozi kama unavyoona, kisha akaondoka zake bila kustukiwa na mtu yeyote licha ya ulinzi mkali katika eneo ilo.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad