AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Komedian matata wa kike Bongo, Gladness Kifaluka ‘Pili Kitimtim’ anasema kuwa kwa wasanii wa kike wa uchekehaji Bongo, yeye ndiye umalkia kamili.
Gladness anasema hakuna komediani wa kike ambaye anaweza kumfikia hata robo kwenye uchekeshaji.
“Mimi ndiye msanii wa kike kwenye uchekeshaji, anayebisha aje tushindane, kwa mambo ninayoyafanya kwa sasa hivi kwenye hii tasnia naweza nikasema mimi ndiye malkia,” anasema Gladness
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK