google-site-verification: googleb0bc30c3e5fdb812.html Poshy: Uzazi Umeniongezea Mvuto | UDAKU SPECIAL

Poshy: Uzazi Umeniongezea Mvuto

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA





MREMBO ambaye umbo lake lilimfanya kumpa jina kubwa hapa mjini, Jacqueline Obadia ‘Poshy’ amesema kuwa tangu amejifungua mtoto wake, amezidi kuwa mrembo tofauti na hata alipokuwa hajajifungua.

Akizumgumza, Poshy alisema kuwa watu wengi wanadhani kuwa unapopata mtoto mwili unaharibika lakini ukweli ni kwamba ukizaa na ukajikubali mwili unakuwa mzuri na unaongezeka mvuto.



“Toka nimejifungua kwa kweli naona kabisa mvuto umeongezeka sana maana wengine walikuwa wanasema kuwa ukijifungua utaharibika lakini ukweli ni kwamba tangu nijifungue nimezidi kuwa bomba sana na ninavutia tofauti hata na mwanzo,” alisema Poshy.

Stori na Imelda Mtema | GPL
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad