AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Marais pamoja na viongozi mbalimbali wanaendelea kuwasili jijini Dodoma, kuhudhuria shughuli ya Kitaifa ya kuaga mwili wa Dkt John Magufuli aliyekuwa Rais wa Tanzania.
Taarifa za hivi punde kutoka jijini Dodoma zinaeleza kuwa aliyewasili hivi karibuni ni Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini, ambaye atashiriki katika shughuli hiyo ya Kitaifa inayofanyika katika uwanja wa Jamhuri.
Marais 11 wanashiriki katika shughuli hiyo, huku nchi tatu zikituma Wawakilishi wa Marais.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK