AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Rais wa Januhuri ya Kidemokrasi ya Congo Etienne Tschisekedi amewasili Jumapili usiku jijini Dar es Salaam nchini Tanzania kwa ajili ya shughuli ya kuuaga mwili wa aliyekuwa rais wa nchi hiyo Hayati John Pombe Magufuli.
Shughuli za kuuaga mwili wa Magufuli zinafanyika leo katika mji mkuu wa nchi hiyo Dodoma.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK