AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Nas amesema hakuna msanii yoyote wa kizazi hiki ambaye anamnyima usingizi, na kwamba huwa hasikilizi nyimbo zao zaidi ya mara moja. Ni kama muziki wa sasa wa Hip Hop umekuwa hovyo. Kwenye mahojiano na Financial Times, Nas amesema
"Ninakubali kinachofanyika, lakini hakuna ambaye anauchukua muda wangu wa usiku kusikiliza kazi zake. Nasikiliza ngoma kali za Rap na ziko poa, lakini huwa sisikilizi tena wiki inayofuata." alisema Nas na kumtaja marehemu Pope Smoke walau alikuwa anamkosha.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK