Serikali Kumfanyia Majaribio Mtoto Charles

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



MTOTO Charles Mathias Mbena (6) mkazi wa Kibungo Juu, Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro ameonesha kipaji cha hesabu ambapo anaweza kujumlisha na kutoa hesabu za makumi na malaki bila kutumia karatasi.

 

Charles anayesoma Darasa la Awali katika Shule ya Msingi Nyigwa ametakiwa kufanyiwa majaribio ili kumpeleka katika Shule na Darasa analostahili.

 

Katibu Tawala wa Mkoa wa Morogoro, Mhandisi Emmanuel Kalobelo amesema wamegundua ana kipaji hivyo watamfanyia majaribio.

 

Katika hatua nyingine Katibu Tawala ameelezea azma yao ya kuboresha mazingira ya Shule ya Msingi Nyigwa kwa kuijengea madarasa manne mbali na mawili ambayo yanamaliziwa na Mkurugenzi.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad