Simba Yaibana Mbavu Al Merrikh Sudan

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA






LICHA ya kupata sare ya bila kufungana dhidi ya Al Merrikh ya Sudan Simba imeendelea kuongoza kwenye msimamo wa kundi A kwa kufikisha alama 7 hivyo kuendelea kujiweka katika mazingira mazuri ya kutinga robo fainali.

 

Mechi hiyo imechezwa leo jioni Machi 6, kwenye dimba la Al Hilal, Khartom Sudan.

 

Simba imeingia kwenye mechi hiyo wakijilinda kwa kumiliki mpira wakati mwingi wa mchezo licha ya Al Merrikh kupata nafasi kadhaa kipindi cha kwanza wakitumia mpira ya krosi na kona lakini umakini wa washambuliaji wao umewakoseha ushindi.



Simba msimu imeweka rekodi baada ya mechi tatu wakiwa hajapoteza mchezo na hawajaruhusu wavu wake kuguswa.

 

Mabingwa hao wa Tanzania wanaongoza msimamo wa kundi A wakiwa na Alama 7 wakifuatiwa na Al Ahly na As Vita wenye alama 3 na Al Merrikh wanaburuza mkia wakiwa na alama 1.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad