Stamina Afunguka Kuhusu Mama Mtoto Wake

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

  


Msanii wan HipHop Stamina Shorwebwenzi amei-dedicate siku hii ya wanawake duniani kwenda kwa mama wa mtoto wake kwa kusema ni mpambanaji pia alikuwa anakaa getini kukusanya pesa wakati anafanya show mikoani.

 

Akizungumzia hilo kwenye kipindi cha PlanetBongo ya East Africa Radio, Stamina amesema alishangazwa na kitendo hicho kwani hakutegemea kama mpenzi wake huyo atafanya jambo hilo kwa zaidi ya mikoa 15.


"Ukiachana na mama mzazi siku ya wanawake duniani naipeleka kwa Mama Lionel, kipindi nakutana naye sikutegemea kama ni mpambanaji alinishangaza kwani nilikuwa na ziara zangu za chaka kwa chaka za mikoani akasema twende wote, yeye alikuwa anakaa getini kuchua pesa wakati nafanya show kwenye jukwaa na alikuwa anawakazia kinoma noma" ameeleza Stamina

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad