TANZIA: Bibi Yake Obama Afariki Nchini Kenya

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Bibi wa Kambo wa Rais wa zamani wa Merekani Barack Obama, Sarah Obama amefariki leo Machi 29, 2021 katika Hospitali ya Jaramogi Oginga Odinga, Kisumu nchini Kenya akiwa na umri wa miaka 99, familia yake imenukuliwa na vyombo vya habari vya nchini humo.

Mama Sarah amekuwa mgonjwa kwa muda na amefariki alipokuwa akipokea matibabu

Rais Obama alikuwa akimuita Granny Sarah.

Bi Obama alimtetea mjukuu wake wakati wa uchaguzi wa Marekani iliposemekana ni Muislamu na hakuzaliwa Marekani.

 
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad