Ujumbe mzito wa Harmonize kwa watoto wa kike

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA






Kuelekea siku ya wanawake duniani, msanii Harmonize ametoa wosia kwa watoto wote wa kike ambapo amewaambia  wawe na maamuzi sahihi kwa wanachotaka kufanya kwenye maisha kwa sababu hakuna kitu kipya kwenye dunia.


Akizungumzia hilo kupitia kamera ya EATV & EA Radio Digital, Harmonize amesema akiona mtoto wa kike anakosea basi anahisi kama mwanae Zulekha ndiyo kakosea hivyo amewaomba wafanye vitu kwa wakati sahihi.



"Mtoto wa kike yeyote ambaye ananitazama sasa hivi anatakiwa ajue kwamba yeye ndio ana maamuzi ya kuchagua kutaka kuwa nani lakini hakuna kitu kipya kwenye hii dunia bibi yako, mama, dada na shangazi vyote walishafanya hivyo ni bora kuwa makini na kufanya vitu kwa wakati sahihi" amesema Harmonize

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad