AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Leo Machi 9 Mwenyekiti wa klabu ya Yanga amemtangaza Juma Mwambusi kuwa kocha wa muda ambapo atakaimu majukumu ya ufundi mpaka atakapopatikana Kocha mpya.
Ikumbukwe kuwa Kocha Mwambusi aliondoka Yanga muda mfupi baada ya kumalizika kombe la mapinduzi Zanzibar ambapo alitangaza kuondoka kutokana na matatizo ya kiafya na kuiacha timu ikiongoza ligi baada ya kucheza mechi 18 bila ya kupoteza.
VIDEO:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK