VIDEO: Msolla aeleza kilichomuondoa Kaze, Mwambusi kocha Yanga

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Leo Machi 9 Mwenyekiti wa klabu ya Yanga amemtangaza Juma Mwambusi kuwa kocha wa muda ambapo atakaimu majukumu ya ufundi mpaka atakapopatikana Kocha mpya.

Ikumbukwe kuwa Kocha Mwambusi aliondoka Yanga muda mfupi baada ya kumalizika kombe la mapinduzi Zanzibar ambapo alitangaza kuondoka kutokana na matatizo ya kiafya na kuiacha timu ikiongoza ligi baada ya kucheza mechi 18 bila ya kupoteza.

VIDEO:


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad