VIDEO: Msolla avunja ukimya sakata la Metacha Yanga ''nilitumiwa clip''

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


"Nilitumiwa na mtu ile Clip ya Metacha, lakini alinitumia bila ya maelezo ya chini lakini baadae nikatumiwa na mtu mwingine ikiwa na maelezo yote, Sinaga mazoea ya kuwapigia simu wachezaji hususani kwa mchezaji ambae ana Meneja, huwa naongea na meneja wake moja kwa moja kwaajili ya maendeleo ya mchezaji, na Metacha Meneja wake ni Jemedari Said, jana sikumpata ila leo nimeongea nae na katika kufuatilia ni kweli namba iliyompigia ni ya kwangu nadhani watu wamehack namba yangu kwasababu siyo mimi niliyempiga" DKT Mshindo Msolla


VIDEO:


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad