AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kutokea Mahakamani Kisutu ambapo Camera za Ayo TV na Millardayo.com zimemnasa msanii Aunt Ezekiel aliyefika mahakamani hapo kwa ajili ya kufatilia mwenendo wa kesi ya Dawa za Kulevya inayomkabili Said Mbasha na wenzake. Aunt Ezekiel amefika mahakamani hapo leo ambapo akiwa ndani ya chumba cha mahakama alionekana akibubujikwa na Machozi kabla ya washitakiwa kusomewa mashitaka yao.
VIDEO:NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK