Video:Aunt Ezekiel aangua kilio mahakamani, kesi ya Dawa za Kulevya ‘Said Mbasha na wenzake’

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Kutokea Mahakamani Kisutu ambapo Camera za Ayo TV na Millardayo.com zimemnasa msanii Aunt Ezekiel aliyefika mahakamani hapo kwa ajili ya kufatilia mwenendo wa kesi ya Dawa za Kulevya inayomkabili Said Mbasha na wenzake. Aunt Ezekiel amefika mahakamani hapo leo ambapo akiwa ndani ya chumba cha mahakama alionekana akibubujikwa na Machozi kabla ya washitakiwa kusomewa mashitaka yao.

VIDEO:
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad