AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Zoezi la kuaga mwili wa Shujaa Wetu Hayati Dkt John Pombe Magufuli limemalizika Uwanja wa uhuru ambapo viongozi mbalimbali na wakazi wa Jiji la Dar es Salaam na mikoa jirani wamepata nafasi ya kutoa heshima zao za mwisho kwa Mpendwa wetu
Mwili wa hayati Dkt. Magufuli sasa Unatolewa Uwanja wa Uhuru kuelekea Uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere tayari kwa kusafirishwa kuelekea jijini Dodoma
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK