Wakazi wa Dar wakamilisha kumuaga hayati Magufuli

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




 Zoezi la kuaga mwili wa Shujaa Wetu Hayati Dkt John Pombe Magufuli limemalizika Uwanja wa uhuru ambapo viongozi mbalimbali na wakazi wa Jiji la Dar es Salaam na mikoa jirani wamepata nafasi ya kutoa heshima zao za mwisho kwa Mpendwa wetu
Mwili wa hayati Dkt. Magufuli sasa Unatolewa Uwanja wa Uhuru kuelekea Uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere tayari kwa kusafirishwa kuelekea jijini Dodoma

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad