Waziri Gwajima: Wanaume wengi wanaugua figo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Imelezwa kuwa wanaume wapo katika hatari kubwa ya kuugua Ugonjwa wa Figo unaotokana na Kisukari na Presha ukilinganisha na Wanawake.

Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa Afya Dokta Dorothy Gwajima, alipotembelea hospitali ya rufaa ya kanda ya Mbeya.

Kwa Upandea wake Mkurugenzi wa Hospitali hiyo Dokta Godlove Mbwanji, ameeleza sababu hasa za Wanaume kuugua Ugonjwa wa figo kuliko wanawake
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad