AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Imelezwa kuwa wanaume wapo katika hatari kubwa ya kuugua Ugonjwa wa Figo unaotokana na Kisukari na Presha ukilinganisha na Wanawake.
Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa Afya Dokta Dorothy Gwajima, alipotembelea hospitali ya rufaa ya kanda ya Mbeya.
Kwa Upandea wake Mkurugenzi wa Hospitali hiyo Dokta Godlove Mbwanji, ameeleza sababu hasa za Wanaume kuugua Ugonjwa wa figo kuliko wanawake
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK