AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Tabora, Aggrey Mwanri kwa sasa amekuwa mwinjilisti katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), ambapo Jumapili ya Pasaka na juzi Jumatatu ya Pasaka Aprili 05, 2021, ameendesha ibada huko wilaya ya Siha na kusoma mistari ya Biblia na kuwapa neno waumini.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK