Air Tanzania Kuanza Safari za China May 8

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA





SAFARI za ndege za Shirika la Ndege la Air Tanzania kutoka Tanzania kuelekea Guanzou nchini China zinatarajiwa kuanza May 08,2021 mara moja kila baada ya wiki mbili.

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Liberata Mulamula, ameyasema hayo wakati wa mazungumzo yake na Balozi wa China hapa Tanzania Wang Ken na kuongeza kuwa safari hizo zitaongezeka kwa kuzingatia muenendo wa COVID 19.

 
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad