Auawa kwa kukatwa shingo, wauaji waondoka na kichwa, Kigoma

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Mtu mmoja mkazi wa kijiji cha Janda wilayani Buhigwe mkoani Kigoma aliyetambulika kwa jina Shinze Mugarama ameuawa kwa kukatwa shingo kijijini hapo na wauaji kuondoka na kichwa chake.
Kamanda wa polisi Mkoa wa Kigoma Kamishna Msaidizi wa Polisi James Manyama amesema marehemu ambaye hana familia na makazi maalum kijijini hapo amekutwa na mkasa huo baada ya kuomba hifadhi ya kulala kwa siku hiyo nyumbani kwa Bw. Juma Zegeli na kwamba watu wawili wanashikiliwa na polisi kwa uchunguzi zaidi.

Aidha, Kamanda Manyama amesema mwili wa marehemu umefanyiwa uchunguzi na kukabidhiwa kwa familia yake ambapo ametoa wito kwa wananchi kutojichukulia sheria mkononi.

Source ITV

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad