AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Msanii wa muziki wa Bongo Fleva Baba levo tayari ypo BASATA na hii ni baada ya kuthibitisha kuwa ameitwa , kupitia ukurasa wake wa Instagram Baba levo aliandika kuwa amepokea simu kutoka BASATA na ameambiwa afike saa tatu asubuhi na tayari ameshafika.
Haijafahamika alichoitiwa lakini huenda ni kutoakna na kinachoendelea mitandaoni kati yake na Harmonize kama tunavyofahamu BASATA walitoa angalizo jana kuwa kwa msanii atakayejihusisha tena na hayo mambo ya kurushiana maneno machafu basi watamchukulia hatua za kisheria.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK