Bakwata Yafanya Teuzi za Viongozi Mbali Mbali Nchini

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Mufti na Sheikh Mkuu wa Tanzania, Sheikh Abubakar Zubeir bin Ally Mbwana kwa Mujibu wa Katiba ya BAKWATA ya Mwaka 1999 toleo la Mwaka 2018 ibara ya 63(6), 63(7), 84(13) amefanya teuzi wa viongozi mbalimbali nchini


Msemaji wa Samaha, Mufti Sheikh Khamisi Mataka amesema Baraza la Ulamaa katika kikao chake cha Aprili 4, 2021 chini ya Mwenyekiti wameteua Masheikh wa Mikoa, Makadhi, Makatibu wa Makadhi na Makatibu Mabaraza ya Masheikh wa Mikoa

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad