Bilioni mbili zatengwa kama kifuta jasho kwa watakaovamiwa na wanyama pori

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Serikali imesema imetenga shilingi bilioni mbili katika mwaka wa fedha 2021/2022 kwa ajili ya kifuta jasho kwa wananchi wote watakaovamiwa na wanyama pori.


Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii Mheshimiwa Mary Masanja amesema hayo bungeni wakati akijibu swali la Mbunge wa Namtumbo Mhe. Vita Kawawa aliyetaka kujua mikakati ya serikali katika kufidia wananchi wanaoshambuliwa na wanyama pori akiwemo Tembo.

Mhe. Masanja amesema serikali itatoa fidia kwa wananchi wote watakaovamiwa na wanyama kulingana na uharibifu utakaojitokeza.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad