AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM katika kikao chake maalumu kilichoketi leo baada ya Mkutano Mkuu wa Chama hicho chini ya Mwenyekiti Samia Suluhu imeridhia mapendekezo yaliyotolewa na Mwenyekiti (Rais Samia) katika Sekretarieti Kuu kuwa aliyekuwa Katibu Mkuu wa CCM Morogoro, Shaka Hamdu Shaka ndiye Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM- Taifa akichukua nafasi ya Humphrey Polepole.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK