Breaking News: Shaka Hamdu Shaka ameteuliwa kuwa Katibu wa Itikadi na Uenezi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM katika kikao chake maalumu kilichoketi leo baada ya Mkutano Mkuu wa Chama hicho chini ya Mwenyekiti Samia Suluhu imeridhia mapendekezo yaliyotolewa na Mwenyekiti (Rais Samia) katika Sekretarieti Kuu kuwa aliyekuwa Katibu Mkuu wa CCM Morogoro, Shaka Hamdu Shaka ndiye Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM- Taifa akichukua nafasi ya Humphrey Polepole.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad