Breaking: Wachimbaji Wanne Wafariki Busega

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA





Wachimbaji wanne wamepoteza maisha huku mmoja akijeruhiwa baada ya kufukiwa na kifusi katika mgodi wa dhahabu wa Namba Mbili uliopo kijiji cha Ilujamate Wilaya ya Busega Mkoa wa Simiyu.

 

 

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Simiyu, Richard Abwao amesema ajali hiyo ilitokea kutokana na kuporomoka kwa kuta za duara kuporomoka kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha.

 

 

Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Mji wa Bariadi Somanda, Dk Costantine Yohane amesema wamepokea miili minne ya marehemu katika hospitali hiyo ambayo imehifadhiwa katika chumba cha kuhifadhi maiti huku hali ya majeruhi mmoja ikiendelea vizuri.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad