Nafasi za Ajira Serikalini Zilizotangazwa Wiki Hii Bonyeza HAPA
Nafasi za Internship Zilizotangazwa Bonyeza HAPA
Matokeo ya Form Four 2022 Bonyeza HAPA
Chama cha Mapinduzi CCM kimemteua mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Daniel Chongolo kuwa katibu mkuu wa chama hicho tawala kuchukua nafasi iliyoachwa wazi na Dk Bashiru Ally.
Chama hicho pia kimemteua Christina Mndeme kuwa naibu katibu mkuu Bara huku Abdallah Juma Sadala akiendelea kuhudumu nafasi hiyo upande wa Zanzibar
Katibu wa itikadi na uenezi iliyokuwa ikishikiwa na Humprey Polepole, sasa itashikiliwa Shaka Hamidu Shaka na katibu wa uchumi na fedha ni Frank Hawasi.
Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo Tanzania Zipo HAPA
Ufadhili wa Masomo ( Scholaships) Bonyeza HAPA
0 Comments