AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Chama cha Mapinduzi CCM kimemteua mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Daniel Chongolo kuwa katibu mkuu wa chama hicho tawala kuchukua nafasi iliyoachwa wazi na Dk Bashiru Ally.
Chama hicho pia kimemteua Christina Mndeme kuwa naibu katibu mkuu Bara huku Abdallah Juma Sadala akiendelea kuhudumu nafasi hiyo upande wa Zanzibar
Katibu wa itikadi na uenezi iliyokuwa ikishikiwa na Humprey Polepole, sasa itashikiliwa Shaka Hamidu Shaka na katibu wa uchumi na fedha ni Frank Hawasi.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK