Diamond Platnumz Kukiwasha Jukwaa Moja na Chriss Brown

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Nyota wa Muziki nchini, msanii @diamondplatnumz anatarajiwa kutumbuiza katika tamasha kubwa la kimataifa duniani liitwalo "Afronation" nchini Ureno, Julai 1, 2 na 3 mwaka huu.

Mbali na Diamond, #Afronation pia litawakutanisha wasanii wakubwa barani Afrika na duniani kwa ujumla kama vile, Rick Ross, Megan Thee Stallion, Davido, Burna Boy, Wizkid, Koffee, Yemi Alade, Sauti Sol, Innoss B, Mavado, Weekend, Bernie Man na wengine wengi.

Tamasha hilo pia litakuwa na ‘special appearance’ za watu maarufu.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad