DJ Seven: Harmonize kwa sasa ndio msanii namba moja Tanzania, ndio wakati wake

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Akiongea na @el_mando_tz DJ wa @harmonize_tz @djsevenworldwide ameeleza kuwa watu wengi walikuwa hawaamini ukubwa wa Harmonize ila sasa wameanza kukubali, Harmonize ndio msanii pekee Tanznaia anayeweza kuandika wimbo kwa lugha mbili na ukapenbdwa kwa Kiingereza na Kiswahili.

Sukari ya @officialzuchu ni ngoma kali sana hata Jeje ya @diamondplatnumz lakini pia kuna baadhi ya ngoma kwenye Album ya @mbosso_ , sisikilizagi nyimbo za @rayvanny ukijataja msanii namba moja kwa sasa Tanznaia ni Harmonize.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad