DJ Seven: Ibraah alimjibu Rayvanny kwa sababu alikuwa anamchafua boss wake

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 
Official Dj wa Harmonize DJ Seven ameongea hayo akizungumza na @el_mando_tz na kueleza kuwa mambo yalivyokuwa yanaelekea yalikuwa yanaenda pabaya ingawa ngoma ya Attitude ilikuja kutuliza hali ya hewa.

Ameongeza kuwa “Kuhusu yaliyokuwa yanaendelea mtandaoni sikufurahishwa hata kidogo na Ibraah kumjibu Rayvanny ni sawa kwani hakuna mtu ataona Boss wake anazungumziwa vibaya.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad