AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Official Dj wa Harmonize DJ Seven ameongea hayo akizungumza na @el_mando_tz na kueleza kuwa mambo yalivyokuwa yanaelekea yalikuwa yanaenda pabaya ingawa ngoma ya Attitude ilikuja kutuliza hali ya hewa.
Ameongeza kuwa “Kuhusu yaliyokuwa yanaendelea mtandaoni sikufurahishwa hata kidogo na Ibraah kumjibu Rayvanny ni sawa kwani hakuna mtu ataona Boss wake anazungumziwa vibaya.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK