Dkt. Tulia: Milioni 50 Kila Kijiji Haipo, Rais Samia Hakuahidi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Naibu Spika wa Bunge la Tanzania, Dkt. Tulia Ackson amewataka wabunge kutombebesha Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan mzigo ambao hastahili kwamba hakuahidi kutoa TZS milioni 50 kila kijiji.

 

Dkt. Tulia amesema hayo bungeni mjini Dodoma na kueleza kuwa katika kampeni zake za uchaguzi wa mwaka 2015, Rais Samia, ambaye wakati huo alikuwa mgombea mwenza hakutoa ahadi hiyo.

 

“Waheshimiwa wabunge tusianze kumtwika Rais wetu mambo ambayo hajaahidi ikiwa ni pamoja na hili la milioni 50,” amesema kiongozi huyo.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad