Dr Kigwangalla "Mashine za Kujifukiza Nyungu Muhimbili Ivunjwe , Viongozi Wavae Barakoa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Mbunge wa Nzega Mjini, Dkt. Hamis Kigwangalla ameshauri mashine ya kujifukizia iliyowekwa Hospitali ya Muhimbili ivunjwe na watu wafauate hatua za kujikinga na #COVID19 ikiwemo kupata chanjo

-

Kigwangwalla amesema Wataalamu wa Afya wana jukumu la kumshauri Rais Samia na yeye kama Mbunge watalizungumza Bungeni ili kuanza kufuata njia za Kisayansi

-

Amesema si sawa kwa Taasisi kubwa kama muhimbili kuwa na mashine za kupiga nyungu. Ni muhimu watu kufuata hatua za afya kama kuvaa barakoa na mengineyo

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad