Fiji yarekodi kesi ya kwanza ya Covid-19 baada ya mwaka mmoja

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA





Baada ya mwaka mmoja wa tangu mlipuko wa janga la corona (Covid-19), kesi ya kwanza ya virusi imegundulika katika nchi ya Fiji, iliyoko kanda ya Pasifiki Kusini.

Janga la virusi vya corona, amba  lo limekumba ulimwengu mzima, linaendelea kuonyesha athari yake mbaya.

Kesi ya kwanza ya Covid-19 ilionekana Aprili mwaka jana katika Jamuhuri ya Fiji, nchi ya kisiwa iliyoko kusini mwa Bahari la Pasifiki na yenye idadi ya watu 896,000.

Mamlaka ilitangaza kuwa mwanamke mwenye umri wa miaka 53 alipimwa na kukutwa na virusi vya corona, na karantini ilitangazwa kwa mara ya kwanza Nadi na Lautoka, ambayo ni miji miwili mikubwa nchini humo.

Imeripotiwa kuwa tangu kuanza kwa janga hilo nchini Fiji, kesi 100 pekee za maambukizi ndizo zilizoonekana na watu 2 walifariki.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad