Hali ya Rapper DMX Aliyelazwa Kutokana na Madawa ya Kulevya Bado Sio Nzuri, Familia na Marafiki Wafanya Mkesha wa Maombi Hospitalini

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Familia ya DMX imepanga kufanya mkesha wa maombi katika hospitali ya White Plains alipolazwa rapa huyo ambaye wiki iliyopita alizidiwa nyumbani kwake kwa kuzidisha matumizi ya dawa za kulevya. Mkesha huo wa sala na maombi umepangwa kufanyika leo Jumatatu.


Jana Jumapili wauguzi pamoja na jopo la madaktari walifanya mkesha wa maombi kumuombea rapa X ambaye bado anapambana kuokoa uhai wake kwenye chumba cha wagonjwa mahututi. Mchumba wake pamoja na watoto wake wameruhisiwa kuingia kumtazama.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad