AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
'Segment' ya Hekaheka ya #LeoTenaCloudsFM inayofanywa na Mtangazaji #MalkiaWaNguvu @geahhabib imepata tuzo kutokana na kuwasaidia watu mbalimbali ikiwemo wanawake wenye uhitaji mbalimbali.
Tuzo hiyo ambayo imetolewa asubuhi ya leo na Wizara ya Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, TAMWA na UNESCO imepokelewa na Geah mwenyewe.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK