Jack Chan Agoma Kumpa Urithi wa Bilioni 858 Mtoto Wake

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Jack Chan aliwahi kukiri kwamba atatoa sehemu ya utajiri wake unaofikia ($370 million) takribani TZS Bilioni 858 kwa watu wenye uhitaji, kuliko kumpa mwanaye wa Kiume, Jaycee.

Kwenye mahojiano na NewsAsia, Jack Chan alitoa maelezo ya kwanini ameamua kutompa urithi wa utajiri wake mwanaye huyo mwenye umri wa miaka 39 "Kama ana uwezo, anaweza kutafuta pesa zake mwenyewe."
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad