Jay Z Adai Siku Akiondoka Akumbukwe Kama Anavyokumbukwa Bob Marley

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


 "Nikiondoka mnikumbuke kama B.I.G" huu ni mstari wa @johmakinitz kwenye dude lake 'HAO' ambalo lilimtambulisha kwenye game. Kila mmoja anaishi hapa duniani akiwa na malengo ya kuacha alama ili kizazi kijacho kimkumbuke kama mtu fulani.


Kwa upande wa Jay-Z ambaye ameitumikia industry ya muziki na jamii kwa ujumla kwa takribani miaka 33, amesema siku akiondoka anataka watu wamuenzi sawa na Mwanamuziki Bob Marley na wakubwa wengine walioacha alama.

-

"Sina majivuni, si ndio? Natumai wataniongelea Mimi pamoja na majina kama Bob Marley na wengine wakubwa. Mimi sipo kwenye upande wa kuizungumzia." alisema Jay-Z alipoulizwa kuhusu watu wamkumbuke vipi, kwenye mahojiano na The Sunday Time

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad