AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Watu 279 wamepata madhara baada ya kuchoma chanjo ya #COVID19 ya #Astrazeneca huku watu 7 wakiwa na dalili za hatari na mmoja akiripotiwa kufariki
Bodi ya Famasia na Sumu (PPB) ya #Kenya imeanza uchunguzi wa kifo kilichoripotiwa na majibu yatatoka Ijumaa, Aprili 9, 2021
Kaimu Mkurugenzi wa PPB, Dkt. Peter Ikamati amesema kifo kinaweza kuwa kimesababishwa na mimba kutoka na sio lazima kiwe kimesababishwa na chanjo
Hadi sasa Wakenya 370,000 wameshapatiwa chanjo
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK