google-site-verification: googleb0bc30c3e5fdb812.html Mange Kimambi Achekelea Baada ya Rais Samia Suluhu Kuruhusu Uhuru wa Vyombo ya Habari "Apewe Miaka Mitano Mingine Baada ya Kumaliza' | UDAKU SPECIAL

Mange Kimambi Achekelea Baada ya Rais Samia Suluhu Kuruhusu Uhuru wa Vyombo ya Habari "Apewe Miaka Mitano Mingine Baada ya Kumaliza'

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Baada ya hotuba ya Rais Samia, Mange Kimambi Ameongea Haya:

From @mangekimambi_ Jamani amkeniiiiiiiiii Tanzania udikteta umekwishaaaaaaaaaaaaaa. Demokrasia imerudiiiiiiii. Uwiiii mwenzenu na data mjue
.
Rais Samia Uwiiiiiiiii sasa utanifanya nikayatafute yale majivu ya kadi yangu ya CCM niliyochoma moto nimpelekeee Gwajima aifufue kadi yangu. Uwiiiiiii

Uwiii Mama Samia this is all we ever wanted. Hiki tu ndo kilikuwa kinatutoa machozi sisi wazalendo tusio bendera fata upepo. Uhuru tu mama. Uwiiiiiiiiii Jamani mama Samia nakupigia facetime unione navyolia machozi ya furaha. Hee kumbe namba yako sina 🙆🏽‍♀️🙆🏽‍♀️🙆🏽‍♀️

Uwiiiii mitano tena kwa Rais Samia. Tena huko CCM wanaume watulize ma*** kugombania 2025, mama na yeye apewe heshima ya kupewa kipindi cha pili bila watu wa chama chake kugombea. Kama heshima mliyowapa marais wooote waliopita ya kupewa kipindi cha pili bila kugombea ndani ya chama na mama apewe heshima hiyo hiyo, mumuwache apite. Nasema hivi mitano tena kwa Samia akeeeeeeeee, aturekebishie nchi. 
.
Uwiiii Mama Samia atafanya watu turudi kwenye lile lichama jamani. 🙆🏽‍♀️🙆🏽‍♀️🙆🏽‍♀️🙆🏽‍♀️. Piga kelele kwa Samia akeeeeeeeeee

Mama La Mama 🙌🙌🙌🙌🙌 Mother of the nation 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌

Uwiiiiiiiiiiii mwenzenu leo natoa yoteeeeee 🤸🤸‍♂️🤸🤸‍♂️🤸‍♂️  
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad