Mangekimambi 'Hakuna mtu anaweza kushusha views za mtu YouTube'

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Kutoka kwa Mange Kimambi Ameandika haya:

Ni hivi views hazijafika tu. Asiekubali kushindwa si mshindani. Hao wasafi washushe views wao ndo wenye YouTube? Ama?

Alafu vitu vingine tusipende kudanganyana. Tatizo tunataka kumshindanisha Harmo na Dai. Hiyo kitu haipo. Harmo tumshindanishe na RayVanny ila Harmo anamshinda RayVanny 😜. Ila kwa Diamond hapo tunakuwa wote wajinga. Diamond hana mpinzani Africa mashariki na kati. Inauma ila ndo ukweli 🤣🤣🤣🤣. Harmo anapomshinda Dai na wasafi nzima ni kwenye size ya 🍆 tu.

Hiyo nyimbo mpya ni nzuri sana ila haipo consistent. Diamond anachowashinda wanamuziki wetu wengi ni kuwa nyimbo zake zinakuwa nzuri kuanzia mwanzo hadi mwisho. Hiyo new song ya Harmo inasehemu nzuri balaaaaa alafu sehemu zingine zimepoa mnoooo. Wajifunze kuwa na nyimbo inanoga mwanzo mwisho sio tu kisehemu kidogo kizuri.

Kwa kuwaelezea tu, kinachofanywa views kushuka ni kwamba kuna watu wana-cheat yani mtu huyo huyo anaangalia nyimbo sehemu tatu so views zinapanda baadae YouTube wanapitia IP address wanaona waliojaribu kucheat ndo wanawaondoa. Au sometimes mtu anakua ananunua views so baadae YouTube wakipitia wanaondoa zilizonunuliwa.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad