Mradi wa Bandari ya Bagamoyo Pasua Kichwa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Spika wa Bunge, Job Ndugai  amedai kuna upotoshaji mkubwa kuhusu mradi wa bandari ya Bagamoyo. “Tunaposisitiza utekelezaji wa mradi huu hatuna maana mbaya, hakuna mwenye mpango wa kuuza nchi hapa.”

 

“Meli kubwa za kisasa ni karibu viwanja vitatu vya mpira, ni zaidi ya mita 300. Hakuna meli ya urefu huo inayoweza kuingia Bandari ya Dar es Salaam, kwa kuwa mlango wake ni mwembamba na ni mdogo.”
 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad