Msanii Harmonize achora Tattoo ya Hayati Magufuli

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA





 CEO wa lebo ya Konde Music Wordwide na msanii Harmonize amechora 'Tattoo' ya picha ya aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Dkt John Pombe Magufuli.
Tattoo hiyo ameichora kwenye mguu wake wa kulia akiwa Lagos nchini Nigeria, kisha ameandika maneno yafuatayo "Mimi nime-sacrifice maisha yangu kwa ajili ya watanzania maskini".

Picha na video hizo akiwa anachora tattoo hizo amezishea kwenye 'Insta Story' ya ukurasa wake wa Instagram halafu mwisho wa picha hizo akaandika 'RIP Kamanda'.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad