AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa amesema Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameelekeza Televisheni za Mtandaoni (Online TV) tu kufunguliwa na sio Vyombo vingine vya Habari ambavyo vimefungiwa kwa mujibu wa Sheria
Ufafanuzi huo umetolewa kufuatia maelekezo yaliyotolewa na Rais Samia jana Aprili 07, 2021 Ikulu Dar wakati akiwaapisha Viongozi mbalimbali walioteuliwa hivi karibuni
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK