Msemaji wa Serikali "Samia Suluhu Hassan Ameagiza Kufunguliwa Kwa Online TV Pekee

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa amesema Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameelekeza Televisheni za Mtandaoni (Online TV) tu kufunguliwa na sio Vyombo vingine vya Habari ambavyo vimefungiwa kwa mujibu wa Sheria


Ufafanuzi huo umetolewa kufuatia maelekezo yaliyotolewa na Rais Samia jana Aprili 07, 2021 Ikulu Dar wakati akiwaapisha Viongozi mbalimbali walioteuliwa hivi karibuni

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad