AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai, amewataka Wabunge wanaofanya safari za kuja na kuondoka Bungeni kwa kutumia Bodaboda kuwa makini zaidi na usafiri huo pamoja na Madereva wanaowabeba
Ndugai amesema "Sina shida na usafiri huu lakini nawaomba umakini na kuwa na uhakika na huyo Dereva wa Bodaboda kwasababu kupatikana kwenu ni kwa gharama kubwa"
Pia, amesema ni vizuri Mbunge kutafakari Wananchi wake wakimuona kwenye Bodaboda watafikiria vipi.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK