NDUGAI: WABUNGE KUWENI MAKINI NA BODABODA MNAOWATUMIA

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai, amewataka Wabunge wanaofanya safari za kuja na kuondoka Bungeni kwa kutumia Bodaboda kuwa makini zaidi na usafiri huo pamoja na Madereva wanaowabeba

Ndugai amesema "Sina shida na usafiri huu lakini nawaomba umakini na kuwa na uhakika na huyo Dereva wa Bodaboda kwasababu kupatikana kwenu ni kwa gharama kubwa"

Pia, amesema ni vizuri Mbunge kutafakari Wananchi wake wakimuona kwenye Bodaboda watafikiria vipi.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad