AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Nyota wa muziki wa Rap Nchini marekani, Boss wa Young Money @liltunechi amenunua jumba la kifahari lenye thamani ya dola milioni 15.4 (Takribani Bilioni 34 za Kitanzania) katika mji wa Hidden Hills huko Los Angeles.
Weezy, ambaye ameinunua nyumba hiyo chini ya bei yake ya awali ($15.75M) atakuwa na majirani maarufu akiwemo Drake, Kim Kardashian na Kylie Jenner ambao pia wanamiliki Majumba ya kifahari maeneo hayo, Kwa mujibu wa TMZ jumba hilo lina vyumba vya kulala zaidi ya 6, bafu 8, Bar, Gym, sehemu kubwa ya jiko, sebule kubwa pamoja na ofisi
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK