Nyota wa muziki wa Rap Nchini marekani Lil Wayne Aonesha Jeuri ya Pesa, Anunua Nyumba ya Bilioni 34

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Nyota wa muziki wa Rap Nchini marekani, Boss wa Young Money @liltunechi amenunua jumba la kifahari lenye thamani ya dola milioni 15.4 (Takribani Bilioni 34 za Kitanzania) katika mji wa Hidden Hills huko Los Angeles.


Weezy, ambaye ameinunua nyumba hiyo chini ya bei yake ya awali ($15.75M) atakuwa na majirani maarufu akiwemo Drake, Kim Kardashian na Kylie Jenner ambao pia wanamiliki Majumba ya kifahari maeneo hayo, Kwa mujibu wa TMZ jumba hilo lina vyumba vya kulala zaidi ya 6, bafu 8, Bar, Gym, sehemu kubwa ya jiko, sebule kubwa pamoja na ofisi


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad